Diamond Platnumz ft. Zuchu – Mtasubiri Lyrics

Diamond Platnumz Zuchu Mtasubiri Lyrics

Mtasubiri Official Audio and Lyrics by Diamond Platnumz and Zuchu.

Tanzania super star singer, Diamond Platnumz teams up with his female signee, Zuchu to deliver this lovely track titled, ” Mtasubiri “. The song is Track 4 on Diamond Platnumz’s debut EP, First Of All (FOA).

Listen below;

DOWNLOAD MP3

LYRICS

Eeh! Nini sasa

Eti amina, dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako

Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako

Na nisipo kuona na raha nakosa
Situlii mpaka unikumbate darling

Ooh kiranga chote mi koma, ukianza dear
Shughuri kwisha yangu habari

Eti unanipenda mi (Mnmhn)
Unanitaka pia (Mnmhn)
Unaniamini (Mnmhn)
Na umeniridhia

Ooh unanipenda mimi (Mnmhn)
Unanitaka pia (Mnmhn)
Unaniamini (Mnmhn)
Na umeniridhia

Mnaosubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubi
(Ooh mtangoja)
Mtasubiri sana mtasubi
(Wanaosubiri tuachane)
Mtasubiri sana mtasubi
(Vuteni kiti mkae)
Mtasubiri sana mtasubi

Ooh baby mi mwenzako njiwa wa kufugwa
Ooh baby vya chakuchaku vitanifuja

Ooh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
Ooh baby penzi laini sitoi buja

Na moyo nimeshaweka kwako nanga
Wanajisumbua kukesha kwa waganga

Mbona bado na presha zitawashuka na kupanda
Tena deka we shaukwa baby tamba

Eti unanipenda mi (Mnmhn)
Unanitaka pia (Mnmhn)
Unaniamini (Mnmhn)
Nakuniridhia (Mnmhn)

Ooh unanipenda mimi (Mnmhn)
Unanitaka pia (Mnmhn)
Unaniamini (Mnmhn)
Na umeniridhia

Manaosubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubi
(Ooh mtakesha)
Mtasubiri sana mtasubi
(Mtandike jamvi mukae)
Mtasubiri sana mtasubi
(Mtatungoja sana)
Mtasubiri sana mtasubi

Wanasema eti Umeniroga
“Nikweli ila inawahusu nini”
Hunipendi Unanichuna
“Nikweli ila inawahusu nini”
Eti anasema wewe ni kicheche
“Nikweli ila inawahusu nini”
Utanichezea kesho uniache
“Nikweli ila inawahusu nini”

Watch Mtasubiri Lyric Video below

 


SOURCE: www.voiceofgh.com

You May Also Like